dcsimg
Image of Vigna angularis var. nipponensis (Ohwi) Ohwi & H. Ohashi
Creatures » » Plants » » Dicotyledons » » Legumes »

Adzuki Bean

Vigna angularis (Willd.) Ohwi & H. Ohashi

Muazuki ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Muazuki (Vigna angularis) ni mmea wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa azuki. Asili yake ni Asia ya Mashariki, Japani hasa. Katika Afrika ya Mashariki mmea huu hukuzwa mahali pachache, huko Somalia hasa. Azuki ni kiambato muhimu cha chakula cha Kisomali.

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Muazuki: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Muazuki (Vigna angularis) ni mmea wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa azuki. Asili yake ni Asia ya Mashariki, Japani hasa. Katika Afrika ya Mashariki mmea huu hukuzwa mahali pachache, huko Somalia hasa. Azuki ni kiambato muhimu cha chakula cha Kisomali.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri