dcsimg

Kindi Mrukaji ( swahili )

tarjonnut wikipedia emerging languages

Kindi warukaji ni wanyama wadogo hadi wakubwa kiasi wa familia Anomaluridae. Wanatokea misitu ya Afrika kusini kwa Sahara. Kuna kindi warukaji huko Asia pia, lakini jamii hizi hazina mnasaba. Wale wa Afrika wana ngozi kati ya miguu ya mbele na ya nyuma, isipokuwa spishi moja, kindi mkia-magamba. Upande wa chini wa msingo wa mkia wao mrefu una mistari miwili ya magamba yenye ncha kali yanayomsaidia mnyama ili kupanda juu ya miti. Rangi yao ni kijivu, kahawia, kahawiachekundu au hudhurungi. Hula matunda, makokwa, maua na majani na pengine wadudu pia.

Spishi

Spishi ya kabla ya historia

  • Kabirmys qarunensis (Mwisho wa Eocene ya Birket Qarun, Misri)

Picha

lisenssi
cc-by-sa-3.0
tekijänoikeus
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
alkuperäinen
käy lähteessä
kumppanisivusto
wikipedia emerging languages

Kindi Mrukaji: Brief Summary ( swahili )

tarjonnut wikipedia emerging languages

Kindi warukaji ni wanyama wadogo hadi wakubwa kiasi wa familia Anomaluridae. Wanatokea misitu ya Afrika kusini kwa Sahara. Kuna kindi warukaji huko Asia pia, lakini jamii hizi hazina mnasaba. Wale wa Afrika wana ngozi kati ya miguu ya mbele na ya nyuma, isipokuwa spishi moja, kindi mkia-magamba. Upande wa chini wa msingo wa mkia wao mrefu una mistari miwili ya magamba yenye ncha kali yanayomsaidia mnyama ili kupanda juu ya miti. Rangi yao ni kijivu, kahawia, kahawiachekundu au hudhurungi. Hula matunda, makokwa, maua na majani na pengine wadudu pia.

lisenssi
cc-by-sa-3.0
tekijänoikeus
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
alkuperäinen
käy lähteessä
kumppanisivusto
wikipedia emerging languages