dcsimg

Kikucha (Regulus) ( swahili )

fourni par wikipedia emerging languages

Vikucha ni ndege wadogo sana wa jenasi Regulus, jenasi pekee ya familia Regulidae. Spishi za jenasi Sylvietta zinaitwa vikucha pia. Vikucha wa Regulus ni kijanikijivu wenye utosi njano au mwekundu. Katika Afrika wanatokea kutoka Maroko mpaka Tunisia na kisiwa cha Tenerife ndani ya misitu ya misonobari. Wanatokea pia Ulaya, Asia na Amerika ya Kaskazini. Hula wadudu ambao huwakamata juu mitini. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe kwa vigoga na kuvumwani lililoning'iniza mwishoni kwa tawi la juu la msonobari. Jike huyataga mayai 7-12.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Spishi ya kabla ya historia

  • Regulus bulgaricus (Mwisho wa Pliocene, Varshets, Bulgaria)

Picha

licence
cc-by-sa-3.0
droit d’auteur
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Kikucha (Regulus): Brief Summary ( swahili )

fourni par wikipedia emerging languages

Vikucha ni ndege wadogo sana wa jenasi Regulus, jenasi pekee ya familia Regulidae. Spishi za jenasi Sylvietta zinaitwa vikucha pia. Vikucha wa Regulus ni kijanikijivu wenye utosi njano au mwekundu. Katika Afrika wanatokea kutoka Maroko mpaka Tunisia na kisiwa cha Tenerife ndani ya misitu ya misonobari. Wanatokea pia Ulaya, Asia na Amerika ya Kaskazini. Hula wadudu ambao huwakamata juu mitini. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe kwa vigoga na kuvumwani lililoning'iniza mwishoni kwa tawi la juu la msonobari. Jike huyataga mayai 7-12.

licence
cc-by-sa-3.0
droit d’auteur
Waandishi wa Wikipedia na wahariri