dcsimg

Kibisi ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Vibisi ni ndege wa maji wa familia ya Podicipedidae. Domo lao jembamba kuliko mabata lina ncha kali. Vibisi huzamia majini ili kukamata samaki. Hujenga tago lao kwa matete linaloelea juu ya maji na hulifungia tete au mmea mwingine wa maji. Jike huyataga mayai 2-7. Kwa kawaida makinda wana milia na mara nyingi hubebwa mgongoni kwa mzazi.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Kibisi: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Vibisi ni ndege wa maji wa familia ya Podicipedidae. Domo lao jembamba kuliko mabata lina ncha kali. Vibisi huzamia majini ili kukamata samaki. Hujenga tago lao kwa matete linaloelea juu ya maji na hulifungia tete au mmea mwingine wa maji. Jike huyataga mayai 2-7. Kwa kawaida makinda wana milia na mara nyingi hubebwa mgongoni kwa mzazi.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri