Mchoroko (Vigna mungo na V. radiata) ni jina la spishi mbili za mimea katika familia Fabaceae unaozaa choroko, mbegu zake ndogo kuliko aina zote za maharagwe zikuazo ndani ya makaka.
Mchoroko (Vigna mungo na V. radiata) ni jina la spishi mbili za mimea katika familia Fabaceae unaozaa choroko, mbegu zake ndogo kuliko aina zote za maharagwe zikuazo ndani ya makaka.